Gospo hitz nusic ni blog inayotangaza na kuonesha kazi za muziki wa injili ndani na nje ya Tanzania, ambapo husaidia kazi za injili zipate kufahamika na kujurikana nje na ndani ya Tanzania.
Pia hutoa taarifa, habari na kutangaza kazi mbalimbali za waimbaji wakubwa na wale wa chini wanaochipukia katika kiwanda cha kazi za injili.
Lakini pia kutangaza matukio mbalimbali ambayo yanatokea, kama matamasha, mikutano na mengine mengi.
0 comments:
Chapisha Maoni