Ijumaa, 15 Julai 2016

CHAMUITA CHAZIDI KUTAMBULISHWA KANDA YA ZIWA

Chama cha muziki wa injili Tanzania CHAMUITA)( chazidi kutambulishwa jijini Mwanza, ambapo hivi karibuni viongozi wa chama hicho kwa kanda ya ziwa wametembea katika vyombo vya habari kutangaza chama hicho.



0 comments:

Chapisha Maoni