Mwimbaji wa nyimbo za injili Manonga Classic, asema umoja wao wa waimbaji jijini Mwanza unaoundwa na waimbaji wa jiji hilo na unaojulikana kama Promover utadumu na utainua waimbaji wengi, hayo aliyazungumza katika wiki chache walipokuwa katika kikao cha kwanza kilichofanyika La Kailo Hotel jijini Mwanza.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni