Alhamisi, 21 Julai 2016

SIKU 8 ZA KUKUMBUKWA NA MUNGU

Usikose kuhudhuria Semina ya neno la mungu Mikocheni Mlima wa Moto kwa mama Rwakatere amabapo kutakuwa na siku 8 za kukumbukwa na Mungu, ambapo Bishop Rwakatale atahudumu akishirikiana na Mchungaji Amos Hulilo(MWANZA) na Mchungaji Noah Lukumay(DSM)

0 comments:

Chapisha Maoni