Mwimbaji wa nyimbo za injili toka jijini Mwanza Emanuel Mwasasumbe Mbioni kukamilisha Video album yake ya pili, kwa sasa yuko location, na baadae atakuwa jijini Dar es Salaam kukamilisha kazi yake kwa location za huko alisema.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni